Sunday, June 22, 2014

KAIMU KATIBU MKUU UTUMISHI BW.HAB MKWIZU ATEMBELEA MABANDA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea jijini Dar es Salaa.Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bw.Florence Temba.

Maafisa wa Banda la NIDA wakihudumia wateja kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akipewa maelezo na Maafisa wa NIDA  kuhusu Vitambulisho vya Taifa alipotembelea banda hilo kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kushoto) akipewa maelezo kuhusu ushirikiano uliopo kati ya  nchi za Afrika Mashariki na Afisa Habari wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi.Robi Bwiru (wa pili kutoka kulia) kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.Anayeshuhudia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini  Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi.Vedastina Justinian (kulia).

Kaimu Katibu Mkuu Bw.HAB Mkwizu (kulia) akipewa maelezo na Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Bi. Hellen Macha kuhusu masuala ya kiutumishi alipotembelea banda hilo kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) akipewa maelezo ya historia ya ndege za Serikali na Afisa Tawala wa Wakala wa Ndege za Serikali Bw. Francis N. Tumbo katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment