Saturday, June 28, 2014

AAPAM TANZANIA CHAPTER YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA

Mlezi wa AAPAM Tanzania Chapter Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi akifungua mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter katika ukumbi wa mikutano wa  St.Gaspar mjini Dodoma leo.

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter wakimsikiliza Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (hayupo pichani) akifungua mkutano huo.

Katibu wa AAPAM Tanzania Chapter Bi.Roxana Kijazi (katikati) akiongea wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter katika ukumbi wa mikutano wa St.Gaspar mjini Dodoma leo. Wengine ni mjumbe wa kamati ya utendaji AAPAM Tanzania Chapter Amos Nnko (kulia), Makamu Mwenyekiti wa AAPAM Tanzania Chapter Bi. Ellyn Mcha (wa tatu kutoka kulia)  na Mlezi wa AAPAM Tanzania Chapter Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto).

Mmoja wa wajumbe wa AAPAM Tanzania Chapter Bi. Victoria Fovo akichangia mada wakati wa mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter katika ukumbi wa mikutano wa St.Gaspar mjini Dodoma leo.

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter wakimsikiliza Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (hayupo pichani) akifungua mkutano huo.

Mweka Hazina wa AAPAM Tanzania Chapter Bi. Emma Lyimo akisoma taarifa ya mapato na matumizi kwenye mkutano wa mwaka wa AAPAM Tanzania Chapter katika ukumbi wa mikutano wa St.Gaspar mjini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment