Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
Ridhiwani Kikwete akiwasilisha Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu
Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026
jijini Dodoma.
Viongozi,
Watendaji na Wakuu wa Taasisi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora
wakifuatilia Bajeti ya ofisi hiyo iliyokuwa ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani
Kikwete (hayupo pichani) kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa
Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
Ridhiwani Kikwete (kushoto) akiteta jambo na Naibu Waziri wa Ofisi yake Mhe.
Regina Qwaray kabla ya Waziri huyo kuwasilisha Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu
Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
Ridhiwani Kikwete akiwasilisha Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu Makadirio ya Mapato
na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina Qwaray akifuatilia Bajeti ya Ofisi hiyo wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
Wakurugenzi
wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora na Watendaji wa Taasisi wa ofisi hiyo
wakifuatilia Bajeti iliyokuwa ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo
pichani) kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027
leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
Wakurugenzi
wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora na Watendaji wa Taasisi wa ofisi hiyo
wakifuatilia Bajeti iliyokuwa ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo
pichani) kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027
leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
Ridhiwani Kikwete (kushoto) akifuatilia hoja mbalimbali zilizokuwa
zikiwasilishwa na Waheshimiwa Wabunge mara baada ya Waziri huyo kuwasilisha
Bajeti ya ofisi hiyo kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha
2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wa Ofisi
hiyo, Mhe. Regina Qwaray.
Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakifuatilia Bajeti iliyokuwa ikiwasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027 leo April 17, 2026 jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment