Mkurugenzi
wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Cosmas
Ngangaji (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya
pamoja na washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti kutoka Ofisi hiyo kwa
ajili ya hatua za kukamilisha Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo kilichofanyika
kuanzia tarehe 28 Aprili-2 May, 2026 katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya
kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma
Washiriki wa kikao kazi cha
Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kilicholenga kukamilisha Mpango Mkakati
wa Ofisi hiyo, wakiwa wanafuatilia Mafunzo katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya
kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma
Washiriki wa kikao kazi cha
Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kilicholenga kukamilisha Mpango Mkakati
wa Ofisi hiyo, wakiwa wanafuatilia Mafunzo katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya
kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma
No comments:
Post a Comment