Tuesday, April 28, 2026

KIKAO KAZI CHA MAAFISA BAJETI KUTOKA OFISI YA RAIS, -UTUMISHI KWA KILICHOLENGA KUKAMILISHA MPANGO MKAKATI WA OFISI HIYO


Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Cosmas Ngangaji (watatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti kutoka Ofisi hiyo kwa ajili ya hatua za kukamilisha Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo kilichofanyika kuanzia tarehe 28 Aprili-2 May, 2026 katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma 

Washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kilicholenga kukamilisha Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo, wakiwa wanafuatilia Mafunzo katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma 

Washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, kilicholenga kukamilisha Mpango Mkakati wa Ofisi hiyo, wakiwa wanafuatilia Mafunzo katika Ukumbi wa Ofisi ya Idara ya kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma 



No comments:

Post a Comment