Friday, October 3, 2025

KIKAO KAZI CHA KUBADILISHANA UZOEFU NA TAARIFA KATI YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA TAASISI SIMAMIZI ZA MAADILI YA UTENDAJI NA MAMLAKA SIMAMIZI ZA MAADILI YA KITAALUMA

 HABARI KATIKA PICHA

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Felister Shuli (aliyesimama) akizungumza jambo wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya Maafisa kutoka Idara ya Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Afisa Rasilimaliwatu Mwandamizi Kutoka Idara ya Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Hassan Kilenza akiwasilisha mada kuhusu nafasi ya Mfumo wa e-Mrejesho II katika Usimamizi wa Maadili ya Utendaji na Maadili ya Kitaaluma katika Utumishi wa Umma wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 



Mratibu wa Mafunzo Endelevu, Baraza la Madaktari Tanganyika, Dkt. Mashauri Lisso akiwasilisha mada kuhusu nafasi ya Maadili ya Kitaaluma kwa Wataalamu wa Sekta ya Afya katika Utumishi wa Umma ili kuleta ustawi kwa wananchi, wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Mkurugenzi wa Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Felister Shuli (wa kwanza kushoto) akifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. Wengine ni washiriki wa kikao kazi hicho.


Afisa Sheria, Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi, Bw. Hamza Twaha akiwasilisha mada kuhusu nafasi ya Maadili ya Kitaaluma kwa Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kwa Wananchi wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. Wa pili kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Ukuzaji wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Ally Ngowo.


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Utendaji Taaluma, Baraza la Famasi, Bw. Daudi Mpinda (aliyesimama) akiwasilisha maoni yake wakati wa kikao kazi kilicholenga kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma.


Sehemu ya Maafisa kutoka Idara ya Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma. 


Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha kubadilishana uzoefu na taarifa kati ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Taasisi Simamizi za Maadili ya Utendaji na Mamlaka Simamizi za Maadili ya Kitaaluma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekretarieti ya Ajira, jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment