Saturday, August 16, 2025

OFISI YA RAIS-UTUMISHI, WIZARA YA FEDHA NA WATUMISHI HOUSING INVESTMENTS YAKAGUA MIRADI YA UJENZI WA MAKAZI YA WATUMISHI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA MKOANI RUVUMA



Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments ikikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma yanayojengwa katika Kituo cha Afya Kilagano, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. 


Mwonekano wa jengo la mradi wa makazi ya watumishi wa umma linalojengwa katika Shule ya SekondarI Jenista Mhagama, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. 

Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Patrick Allute (aliyenyoosha mkono) akizungumza jambo na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mipango na Bajeti, Bi. Julieth Magambo (wakwanza kulia) mara baada ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma yanayojengwa katika Kituo cha Afya Kilagano, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. Wapili kutoka kulia ni Mteknolojia wa Maabara-Kituo cha Afya Kilagano, Bw. Lugano Mwakalago. 


Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments ikikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma yanayojengwa katika Shule ya Sekondari Jenista Mhagama, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. 


Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mipango na Bajeti, Bi. Julieth Magambo (wakwanza kulia) akisisitiza jambo kwa Mtaalam wa ujenzi kutoka WHI, Bw. Sadiki Mwasilembo mara baada ya timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma yanayojengwa katika Kituo cha Afya Kilagano, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. 


Timu ya wataalam kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Wizara ya Fedha na Watumishi Housing Investments ikikagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa makazi ya Watumishi wa Umma yanayojengwa katika Kituo cha Afya Kilagano, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma. 








No comments:

Post a Comment