Mtaalam
wa Saikolojia, Dkt. Chris Mauki akisisitiza jambo kwa watumishi wa Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na kuimarisha
utendaji kazi
watumishi wa ofisi hiyo yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Naibu Katibu
Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI (wa kwanza kushoto) Bw. Xavier Daudi akifuatilia mafunzo ya kujengewa uwezo na kuimarisha
utendaji kazi watumishi wa ofisi hiyo yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba,
jijini Dodoma. Wengine ni Wakurugenzi na Watumishi wa ofisi
hiyo.
Sehemu ya Wakurugenzi na Watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia
mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Sehemu
ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifurahia jambo
wakati wa mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo na
kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika Mji wa Serikali Mtumba,
jijini Dodoma.
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Sehemu ya Wakurugenzi na Watumishi wa Ofisi
ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Sehemu ya Wakurugenzi, Wakurugenzi wasaidizi na Watumishi
wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
Sehemu ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI, wakifuatilia mafunzo ya
kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa
Serikali Mtumba, jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment