Tuesday, December 29, 2020

MHE. NDEJEMBI AWATAKA MKURABITA KUONGEZA KASI YA URASIMISHAJI ILI KUEPUKA MIGOGORO

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Watumishi wa Mpango wa Kurasimisha Biashara na Rasilimali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) Jijini Dodoma wakati wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kufahamiana na watumishi wa Taasisi hiyo na kuhimiza uwajibikaji. 


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akisisitiza jambo kwa Mratibu wa Mpango wa Kurasimisha Biashara na Rasilimali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Dkt. Seraphia Mgembe Jijini Dodoma wakati wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kufahamiana na watumishi wa Taasisi hiyo na kuhimiza uwajibikaji. 


Baadhi ya Watumishi wa Mpango wa Kurasimisha Biashara na Rasilimali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Ndejembi katika taasisi hiyo leo Jijini Dodoma yenye lengo la kufahamiana na watumishi hao na kuhimiza uwajibikaji.

 

No comments:

Post a Comment