Tuesday, December 29, 2020

MHE. NDEJEMBI AHIMIZA UTUNZAJI WA NYARAKA KATIKA TAASISI ZA UMMA

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akifuatilia taarifa kuhusu mifumo ya kuhifadhi nyaraka iliyokuwa ikiwasilishwa na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakati wa ziara yake ya kikazi Jijini Dodoma yenye lengo la kufahamiana na watumishi wa Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji. 


Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Salum Kyando akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Idara yake kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi wakati wa ziara ya kikazi ya Mhe. Ndejembi katika Idara hiyo Jijini Dodoma yenye lengo la kufahamiana na watumishi wa Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji.


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakati wa ziara yake ya kikazi Jijini Dodoma yenye lengo la kufahamiana na watumishi wa Idara hiyo na kuhimiza uwajibikaji. 

 

No comments:

Post a Comment