Thursday, March 7, 2019

WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI JIJINI DODOMA WASHAURIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUTOA HUDUMA YA USAFIRI KWA WANANCHI WATAKAOHUDUMIWA NA TAASISI ZINAZOJENGWA KWENYE MJI WA SERIKALI


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akizungumza mara baada ya kumaliza ziara yake ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ofisi za Utumishi katika mji wa serikali Ihumwa, jijini Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na baadhi ya watumishi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisisitiza jambo baada ya kukamilika kwa ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ofisi za Utumishi katika mji wa serikali Ihumwa, jijini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb).

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akitoa maelekezo kwa Mhandisi, Lucas Lipambila (kushoto) wakati wa ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya Utumishi katika mji wa serikali Ihumwa, jijini Dodoma. Katikati ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb).

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) akiwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakiwasili katika Mji wa Serikali kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya Utumishi katika mji huo Ihumwa, jijini Dodoma.


Afisa Tawala Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Donald Bombo akisisitiza jambo kwa Mhandisi Lucas Lipambila (wa pili kutoka kulia) baada ya kumalizika kwa ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George Mkuchika (Mb) ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa ofisi ya Utumishi katika mji wa serikali Ihumwa, jijini Dodoma


Muonekano wa jengo la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora linalojengwa katika mji wa serikali Ihumwa, jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment