Saturday, March 23, 2019

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAANDIKA HISTORIA YA KUWA TAASISI YA KWANZA KUZINDUA HUDUMA ZAKE KWENYE MJI WA SERIKALI JIJINI DODOMA













Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akikata utepe kuzindua rasmi ofisi yake iliyojengwa kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma kwa ajili ya kutoa huduma kwa wananchi. Naibu Waziri, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na Katibu Mkuu-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro  wameshiriki tukio hilo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakifurahia uzinduzi wa ofisi yao iliyojengwa  kwenye mji wa serikali jijini Dodoma, mara baada ya Mhe. Mkuchika kuzindua ofisi hiyo.

Mwonekano wa jengo la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora lililozinduliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) mara baada ya TBA kulikabidhi jengo hilo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na watumishi na vyombo vya habari mara baada ya kuzindua rasmi ofisi yake iliyojengwa kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akiwa kwenye ofisi yake iliyopo kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma mara baada ya kuizindua.

Mkurugenzi wa Ujenzi, Wakala ya Majengo Tanzania (TBA), Bw. Hamphrey Kilo akiwasilisha taarifa ya ujenzi  wa jengo la Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) mara baada ya kumkadhi waziri huyo jengo hilo lililopo kwenye mji wa serikali jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akimkabidhi hati ya kiwanja mtumishi wake Bi. Zena Makaye, mara baada ya waziri huyo kuzindua rasmi ofisi yake iliyojengwa kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akimkabidhi hati ya kiwanja Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi yake Bw. Peter Mhimba, mara baada ya waziri huyo kuzindua rasmi ofisi yake iliyojengwa kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi yake mbele ya ofisi aliyoizindua ambayo  imejengwa kwenye mji wa Serikali jijini Dodoma. Naibu Waziri, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na Katibu Mkuu-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro  ni miongoni mwa waliojumuika katika picha hiyo.

No comments:

Post a Comment