Friday, June 17, 2016

Katibu Mkuu-Utumishi afanya kikao na watumishi,ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016

Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi akiwasilisha maoni kuhusu Utumishi wa Umma katika kikao cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016 kilichofanyika katika ukumbi wa utumishi.

Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) katika kikao cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016 kilichofanyika katika ukumbi wa utumishi.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro akifafanua kuhusu masuala ya Utumishi wa Umma yaliyoulizwa na watumishi wa ofisi yake katika kikao cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2016 kilichofanyika katika ukumbi wa utumishi.

No comments:

Post a Comment