Friday, May 26, 2023

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YASISITIZA UZINGATIAJI WA MAADILI YA UTENDAJI KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA TANZANIA



Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mhe. Haroun Ali Suleiman akizungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa salamu za Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Sehemu ya Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakiwa kwenye mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi wakifuatilia mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Bw. Omar Gora wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Mwenyekiti wa Chama cha Menejimenti ya Watunza Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania, Bi. Devotha George akielezea lengo la mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Watendaji wa Taasisi za Serikali wakifuatilia mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Felister Shuli akiwasilisha mada kuhusu haki na wajibu wa mtumishi wa umma wakati wa mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.



Mkurugenzi wa Usimamizi wa Maadili, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Leila Mavika akiwasilisha mada kuhusu misingi ya maadili ya utendaji katika utumishi wa umma wakati wa mafunzo maalumu kwa Watunza Kumbukumbu na Nyaraka yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.


Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mhe. Haroun Ali Suleiman akiteta na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete baada ya kuzungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.

Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar, Mhe. Haroun Ali Suleiman na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete wakiwasili kuzungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakati wa mafunzo maalumu kuhusu Nidhamu, Uadilifu na Utunzaji Siri sehemu za kazi yanayoendelea katika Ukumbi wa Golden Tulip-Zanzibar.

 




No comments:

Post a Comment