Friday, March 13, 2020

KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU” YAWA CHACHU YA MAENDELEO KWA MNUFAIKA WA TASAF MKOANI SINGIDA


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), akizungumza na mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala jana ambaye anafanya shughuli za ushonaji wakati wa ziara ya kamati hiyo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), akishuhudia moja na bidhaa iliyotengenezwa na mnufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bibi Edith Brayson Makala wakati wa ziara ya kamati hiyo jana yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), akizungumza na baadhi ya wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Mtaa wa Sokoine, Kata ya Misuna, Manispaa ya Singida wakati wa ziara ya kamati hiyo jana yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.

Baadhi ya wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Mtaa wa Sokoine, Kata ya Misuna, Manispaa ya Singida wakimsikilza Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Dkt. Jasson Rweikiza (Mb), (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao jana wakati wa ziara ya kamati hiyo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb) akizungumza na baadhi ya wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Mtaa wa Sokoine, Kata ya Misuna, Manispaa ya Singida (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa jana yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Bw. Ladislaus Mwamanga akiwasalimia wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF), Mtaa wa Sokoine, Kata ya Misuna, Manispaa ya Singida (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa jana yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Serikali mkoani Singida.


No comments:

Post a Comment