Monday, March 2, 2020

TANZANIA BILA RUSHWA INAWEZEKANA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Kitaifa wa Kushirikisha Vijana wa Scout katika mapambano dhidi ya rushwa nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Sayansi ya Kompyuta, Habari na Mawasiliano uliopo Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) jijini Dodoma.
Baadhi ya vijana wa Skauti Taifa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst.), Mhe. George H. Mkuchika (Mb)(hayupo pichani) alipokuwa akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Kitaifa wa Kushirikisha Vijana wa Skauti katika mapambano dhidi ya rushwa nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Sayansi ya Kompyuta, Habari na Mawasiliano uliopo Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)  jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst.), Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizindua Mkakati wa Kitaifa wa Kushirikisha Vijana wa Skauti katika mapambano dhidi ya rushwa nchini katika ukumbi wa Chuo cha Sayansi ya Kompyuta, Habari na Mawasiliano uliopo Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)  jijini Dodoma. Wanaoshuhudia ni Rais Mstaafu na Mdhamini wa Chama cha Skauti Tanzania, Mhe. Ali Hassan Mwinyi (kulia), Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia na Rais wa Chama cha Skauti Tanzania, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (Mb) (wa pili kutoka kushoto) na Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Justine Mahiga (MB)(kushoto).

No comments:

Post a Comment