Wednesday, October 18, 2017

SERIKALI YAWAHAMASISHA WATUMISHI WA UMMA NCHINI KUJITOKEZA KUPIMA AFYA ZAO KWA LENGO KUBORESHA UTENDAJI KAZI



Mkurugenzi wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Anne Mazalla akiwahamasisha watumishi wa umma nchini kupima afya zao katika kipindi cha Habari Kuu Tuongee Asubuhi kilichorushwa hewani mapema leo na kituo cha Star TV.

Afisa Tawala Mkuu wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Mwanaamani Mtoo akiwahimiza watumishi wa umma nchini kubadili mtindo wa maisha katika kipindi cha Habari Kuu Tuongee Asubuhi kilichorushwa hewani mapema leo na kituo cha Star TV.

Mkurugenzi wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Anne Mazalla (katikati) akishiriki kipindi cha Habari Kuu Tuongee Asubuhi kilichorushwa hewani mapema leo na kituo cha Star TV. Kushoto ni mwongozaji wa kipindi hicho Bi. Grace Simfukwe.

Mtangazaji na mwongozaji wa kipindi cha Habari Kuu Tuongee Asubuhi kinachorushwa hewani na Kituo cha Star TV, Bi. Grace Simfukwe akiongoza kipindi hivyo mapema leo.Kipindi hicho kimemshirikisha Mkurugenzi wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Anne Mazalla na Afisa Tawala Mkuu wa Kitengo cha Anuai za Jamii, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Mwanaamani Mtoo (hawapo pichani).

No comments:

Post a Comment