Monday, October 30, 2017

MHE. RAIS AKIMUAPISHA BI. DOROTHY MWALUKO KUWA NAIBU KATIBU MKUU-UTUMISHI NA UTAWALA BORA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bi. Dorothy Mwaluko kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akikabidhi nyenzo za kazi baada ya kumuapisha Bi. Dorothy Mwaluko kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

No comments:

Post a Comment