Wednesday, October 4, 2017

MHE. KAIRUKI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA SHIRIKA LA MISAADA LA MAREKANI (USAID) NCHINI KUHUSU MASUALA YA KIUTUMISHI YA UTAWALA BORA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akijadili masuala ya kiutumishi na utawala bora na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) nchini, Bw. Andrew Karas alipomtembelea ofisini kwake.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) nchini, Bw. Andrew Karas alipomtembelea ofisini kwake kuzungumzia masuala ya kiutumishi na utawala bora.

No comments:

Post a Comment