Tuesday, February 10, 2026

MAAFISA BAJETI WAPATIWA MAFUNZO YA UMUHIMU WA UFUATILIAJI NA TATHMINI ILI KUHAKIKISHA MPANGO NA BAJETI YA MWAKA 2026/2027 YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI INATEKELEZWA KWA UFANISI


Mkurugenzi wa Mipango kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Cosmas Ngangaji (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo wakati wa kikao kazi cha Maafisa hao kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara. Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, wa ofisi hiyo Bw. Patrick Allute.

Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Patrick Allute akisisitiza jambo wakati akiwasilisha mada kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini wakati wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara.


Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini, wa ofisi hiyo, Bw. Patrick Allute (hayupo pichani) wakati akiwasilisha mada kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini kwenye kikao kazi cha Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027.


Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakifuatilia jambo wakati wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara.


Wachumi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakifuatilia jambo wakati wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara.


Maafisa Bajeti kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakifuatilia jambo wakati wa kikao kazi cha Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara.


Mkurugenzi wa Mipango kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Cosmas Ngangaji akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Bajeti wa Ofisi hiyo wakati wa kikao kazi cha Maafisa hao kilicholenga kuandaa Mpango na Bajeti ya Mwaka 2026/2027 kilichofanyika mkoani Manyara.

 



 

 


No comments:

Post a Comment