Wednesday, September 3, 2025

WATUMISHI OFISI YA RAIS-UTUMISHI WASHIRIKI KONGAMANO LA NNE LA MADEREVA WA SERIKALI WA TANZANIA



Madereva wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.

Afisa Rasilimaliwatu kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Imani Mtumbi (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo kwa mtumishi aliyefika kupatiwa huduma ya kiutumishi wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.

Afisa Utumishi Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Said Ally akiwasilisha mada kuhusu e-Uhamisho wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Afisa Usafirishaji kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Benson Batalinganya (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania, Bw. Saidi Kapande (wapili kutoka kulia) kabla ya kuanza kwa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Afisa Rasilimaliwatu Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI (aliyenyanyua mkono) Bi. Leticia Mwakasitu akifafanua jambo kwa mtumishi aliyefika kupatiwa huduma ya kiutumishi wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Afisa Tawala kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Stella Teri akiwasilisha mada kuhusu Kanuni za Maadili ya Utendaji katika Utumishi wa Umma wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Afisa Utumishi Mkuu, kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Kassim Dihenga (aliyenyanyua mkono) akifafanua jambo kwa mtumishi aliyefika  kupatiwa huduma ya kiutumishi wakati wa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Madereva kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania Bw. Saidi Kapande kabla ya kuanza kwa kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.


Sehemu ya Madereva wa Serikali wakiwa katika kongamano la nne la Madereva wa Serikali wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma.

 


No comments:

Post a Comment