Monday, September 1, 2025

KIKAO KAZI CHA WARATIBU WA JINSIA MAHALI PA KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA



Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, Ukimwi na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo akiwasilisha mada kuhusu Mwongozo wa Kuzingatiwa Kuimarisha Ujumuishwaji wa Jinsia katika Utumishi wa Umma wakati wa kikao kazi kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.

Sehemu ya Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi Ngazi ya Wizara katika Utumishi wa Umma wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, Ukimwi na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu Mwongozo wa Kuzingatiwa Kuimarisha Ujumuishwaji wa Jinsia katika Utumishi wa Umma wakati wa kikao kazi kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.


Afisa Tawala Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bi. Joyce Mlowe akiwasilisha taarifa ya utekelezaji na mpango kazi wa ujumuishwaji wa jinsia ya Wizara hiyo wakati wa kikao kazi kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.


Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, Ukimwi na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo (kushoto) akifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi cha Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi katika Utumishi wa Umma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma. Kulia ni Mwezeshaji kutoka Taasisi ya UONGOZI, Prof. Linda Mhando.


Mwakilishi wa Mkurugenzi-Taasisi ya UONGOZI ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Tafiti na Sera, Bi. Carolina Israel (katikati) akifuatilia kikao kazi cha Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi katika Utumishi wa Umma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma. Wengine ni Waratibu wa kikao hicho kutoka Taasisi ya UONGOZI.


Sehemu ya Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi Ngazi ya Wizara katika Utumishi wa Umma wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.


Afisa Mipango Mwandamizi, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Staricko Nyikwa akisisitiza jambo alipokuwa akiwasilisha mada kuhusu Mpango Kazi wa utekelezaji wa masuala ya jinsia mahali pa kazi wakati wa kikao kazi cha Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi katika Utumishi wa Umma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.


Mwandishi wa Ripori kutoka Taasisi ya UONGOZI, Bi. Betty Humplick (aliyeshika kipaza sauti) akifurahia jambo na Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, Ukimwi na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo (watatu kutoka kulia) mara baada ya kumalizika kwa kikao kazi cha Waratibu wa Jinsia Mahali Pa Kazi katika Utumishi wa Umma kilicholenga kupokea taarifa ya utekelezaji wa mipango kazi ya ujumuishwaji wa jinsia ya Mwaka wa fedha 2024/25 kilichofanyika jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment