Mwakilishi
wa Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye ni
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bi. Salome Kessy
(kulia) akiteta jambo na Mkurugenzi wa TEHAMA Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI
na Utawala Bora, Bw. Priscus Kiwango (kushoto) wakati wa kikao kazi kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya
Kidijitali kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi kilicholenga
kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi, Usimamizi wa Mifumo na Viwango vya
Kimenejimenti, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Veila Shoo (hayupo
pichani) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kuhusu Daftari la Huduma
za Serikali wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Priscus Tairo akiwasilisha
taarifa ya utekelezaji kuhusu Usimamizi wa Utendaji Kazi
katika Utumishi wa Umma na Taasisi (e-Utendaji) wakati wa kikao kazi kilicholenga
kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali kilichofanyika jijini
Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki wa kikao kazi kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa
Tanzania ya Kidijitali wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mamlaka ya
Serikali za Mitaa, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Priscus Tairo
(hayupo pichani) alipokuwa akifafanua jambo kuhusu Usimamizi wa Utendaji Kazi
katika Utumishi wa Umma na Taasisi (e-Utendaji)
wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Msaidizi, Usimamizi wa Mifumo na Viwango vya Kimenejimenti, Ofisi ya
Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Veila Shoo akiwasilisha taarifa ya
utekelezaji kuhusu Daftari la Huduma za Serikali wakati wa kikao kazi kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya
Kidijitali kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki wa kikao kazi kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa
Tanzania ya Kidijitali wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa
wakati wa kikao kazi hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia, Bw. Paul Seadin (kulia) akifuatilia mada mbalimbali wakati wa kikao kazi kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
Msaidizi, Sehemu ya Sera za Tehama na Viwango, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na
Utawala Bora, Bw. Ibrahim Toure (wa kwanza kulia) akiwa katika kikao kazi
kilicholenga kujadili utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali
kilichofanyika jijini Dar es Salaam.








No comments:
Post a Comment