Wednesday, July 23, 2025

IBADA MAALUM YA KUMBUKIZI YA MIAKA MITANO (5) YA KIFO CHA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA TATU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HAYATI BENJAMIN WILLIAM MKAPA



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi na Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara wakati wa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa.

Wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa Ibada maalaum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (watatu kutoka kulia) akifuatilia Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara. Wengine ni viongozi mbalimbali walioshiriki Ibada hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (watatu kutoka kulia) akielekea kushiriki Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara. Kushoto kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene na kulia kwake ni mjane wa Hayati Benjamin Mkapa ambaye ni Bi. Anna Mkapa.

 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa kijijini Lupaso wakati wa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais huyo iliyofanyika kijijini hapo. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa ofisi hiyo Bw. Juma Mkomi. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akiweka shada la maua kwenye kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa wakati wa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais huyo iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.

 

Sehemu ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakiwa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akitoa utambulisho wa viongozi na wageni walioshiriki Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.


Wananchi wakiwa katika Ibada maalaum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.

 

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Nicholas Mkapa (kulia kwake) na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa ofisi hiyo, Bi. Salome Kessy (wa kwanza kulia) kabla ya kuanza kwa Ibada maalaum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.

Sehemu ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakiwa katika Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.


Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhadhama Kardinali Pengo akiongoza Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.


Viongozi mbalimbali wakiwa katika Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka mitano (5) ya kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Benjamin William Mkapa iliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, Kijiji cha Lupaso Mkoani Mtwara.




No comments:

Post a Comment