Monday, August 5, 2019

SERIKALI YAWEKA MKAKATI KUHAKIKISHA WANUFAIKA WA TASAF WANAPATA RUZUKU STAHIKI NA KWA WAKATI


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Wanufaika wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini katika Kijiji cha Magata, wilayani Muleba mkoani Kagera wakati wa ziara ya kikazi yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya TASAF.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi Magata baada ya kumaliza mkutano na wananchi na wanufaika wa TASAF katika Kijiji cha Magata, wilayani Muleba mkoani Kagera. 

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Mhe. Mhandisi Richard Ruyango na baadhi ya Watendaji wa TASAF wakielekea kwenye nyumba ya mnufaika wa TASAF kuona namna alivyotumia ruzuku inayotolewa na Serikali kupitia mfuko huo.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akiwa na moja ya familia ya mnufaika wa TASAF katika Kijiji cha Magata wilayani Muleba ambaye alipata ulemavu wa viungo kutokana na ajali.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akiangalia banda la mifugo katika Kaya ya mmoja wa wanufaika wa TASAF, Bi. Nazifa Naziru katika Kijiji cha Magata wilayani Muleba.

No comments:

Post a Comment