Friday, August 2, 2019

WAAJIRI NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU WANAPOWASILISHA TAARIFA ZA KIUTUMISHI OFISI YA RAIS UTUMISHI ILI KUEPUKA MALALAMIKO YA WATUMISHI



Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Watumishi wa Umma wa Mkoa wa Kagera (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi na watumishi hao chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.


Baadhi ya Watumishi wa Umma mkoani Kagera wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) (hayupo pichani) wakati wa kikao kazi chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.


Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof. Faustin Kamuzora akitoa ufafanuzi wa masuala ya kiutumishi kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) wakati wa kikao kazi cha Naibu Waziri huyo na Watumishi wa Umma mkoani Kagera chenye lengo la kuhimiza uwajibikaji.

No comments:

Post a Comment