Monday, October 22, 2018

SERIKALI YAWATAKA WAHITIMU WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI NA NIDHAMU ILI KUONESHA TOFAUTI YA KIUTENDAJI NA WAHITIMU WENGINE



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akimtunuku cheti mmoja wa wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) wakati wa mahafali ya 29 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kwenye mahafali ya 29 ya chuo hicho, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment