Friday, January 6, 2017

MHE. KAIRUKI AFANYA MAZUNGUMZO YA KIKAZI NA KAMISHNA WA MAADILI KATIKA SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu, Mhe. Harold Reginald Nsekela akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipomtembelea ofisini kwake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela (wa pili kulia) alipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela (hayupo pichani) alipotembelewa na Kamishna huyo ofisini kwake.

No comments:

Post a Comment