Thursday, January 26, 2017

Pongezi





Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inampongeza Mkurugenzi wa Utawala wa Utumishi wa Umma Bw.Nyakimura Muhoji kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma.



No comments:

Post a Comment