Monday, January 23, 2017

OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAHAMIA RASMI MAKAO MAKUU YA NCHI - DODOMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiwatakia watumishi wake safari njema ya kuhamia Makao Makuu ya nchi - Dodoma.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipunga mkono kwa madereva wa magari yaliyobeba vitendea kazi vya Ofisi  vinavyohamishiwa  Makao Makuu ya nchi - Dodoma.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakitawanyika baada ya kuagana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) kwa safari ya kuhamia Makao Makuu ya nchi- Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari kuhusu ofisi yake kuhamia rasmi Makao Makuu ya nchi - Dodoma. Kushoto kwake Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Susan Mlawi.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na vyombo vya habari kuhusu ofisi yake kuhamia rasmi Makao Makuu ya nchi - Dodoma. 

Baadhi ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipokuwa akizungumza nao kuhusu ofisi yake kuhamia rasmi Makao Makuu ya nchi - Dodoma. 




No comments:

Post a Comment