Monday, January 16, 2017

TANZIA


Misa ya kuaga mwili wa Mkurugenzi mstaafu Bw. Emmanuel Mlay kufanyika leo nyumbani kwake Banana-Ukonga, Dar es salaam. 

Hadi anastaafu Bw. Mlay alikua ni Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasimali Watu katika Utumishi wa Umma-DHCM. Mazishi yatafanyika Moshi-Kilimanjaro.

Mwenyezi Mungu ampe pumziko la Milele.


No comments:

Post a Comment