Thursday, January 14, 2016

MHE. KAIRUKI ATEMBELEA TAASISI YA UONGOZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Prof. Joseph Semboja alipoitembelea taasisi hiyo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akiwa katika kikao kazi na watumishi wa Taasisi ya Uongozi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Taasisi ya Uongozi alipoitembelea taasisi hiyo 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (mstari wa mbele katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Taasisi ya Uongozi alipoitembelea taasisi hiyo 

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

No comments:

Post a Comment