Tuesday, January 5, 2016

MHE. KAIRUKI AKUTANA WATUMISHI WA OFISI YAKE,AMKARIBISHA KATIBU MKUU MTEULE

Watumishi wa Ofisi ya Rais – Utumishi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) (hayupo pichani) wakati wa kikao cha Mhe. Waziri na watumishi wa ofisi hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) akizungumza na watumishi wa Ofisi yake (hawapo pichani) wakati wa kikao chake na watumishi hao.

Aliyekuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Utumishi, Bw. HAB Mkwizu akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais – Utumishi (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Mhe. Waziri na watumishi wa ofisi hiyo.

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Utumishi, Bw. Tixon Nzunda akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais – Utumishi (hawapo pichani) wakati wa kikao cha Mhe. Waziri na watumishi wa ofisi hiyo

 Katibu Mkuu mteule Ofisi ya Rais-Utumishi Dkt. Laurian Ndumbaro (kushoto) akipokea Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma (Standing Order) kutoka kwa aliyekuwa akishika nafasi hiyo Katibu Mkuu, Bw. HAB Mkwizu (kulia). Anayeshuhudia ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Tixon Nzunda.

Katibu Mkuu mteule Ofisi ya Rais-Utumishi Dkt. Laurian Ndumbaro (kushoto) akipokea Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma (Standing Order) kutoka kwa aliyekuwa akishika nafasi hiyo Katibu Mkuu, Bw. HAB Mkwizu (kulia). Anayeshuhudia ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Tixon Nzunda.

No comments:

Post a Comment