Tuesday, January 5, 2016

Mhe. Kairuki aitembelea Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) akisalimiana na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma alipoitembelea ofisi hiyo.   

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Angella Kairuki (Mb) akimsikiliza Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Salome S.Kaganda (kushoto) alipotembelea ofisi hiyo

No comments:

Post a Comment