Tuesday, January 5, 2016

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi akila kiapo cha utii kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt.Laurian Ndumbaro akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment