Friday, April 12, 2024

KUMBUKIZI YA MIAKA 40 YA ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi na wananchi katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilayani Monduli wakati wa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine.

Sehemu ya viongozi na wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa Ibada maalaum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine iliyofanyika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akitoa maelezo ya awali kuhusu Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuzungumza katika Ibada hiyo iliyofanyika katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (kulia) akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Ofisi yake, Mhe. Ridhiwani Kikwete kabla ya kuanza kwa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine iliyofanyika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akitoa utambulisho wa baadhi ya viongozi na wageni walioshiriki katika Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuzungumza na viongozi na wananchi katika Ibada hiyo iliyofanyika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akisaini kitabu mara baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (kushoto) akifurahia jambo na Mkurugenzi wa Idara ya  Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Bw. Musa Magufuli pamoja na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Dawati la Viongozi Wakuu wa Kitaifa Wastaafu, Bi. Nyasinde Mukono (katikati) kabla ya kuanza kwa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu huyo iliyofanyika katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine wakati wa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu huyo iliyofanyika katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na baadhi ya viongozi kabla ya kuanza kwa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine iliyofanyika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.

Sehemu ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakifuatilia jambo kabla ya kuanza kwa Ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Kwanza, Hayati Edward Moringe Sokoine iliyofanyika katika Kijiji cha Monduli Juu, Wilaya ya Monduli.











 





No comments:

Post a Comment