Friday, April 19, 2024

BAJETI YA OFISI YA RAIS-UTUMISHI NA UTAWALA BORA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25 YAPITISHWA NA BUNGE



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya ofisi yake kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (kushoto) akijadili jambo na Naibu Waziri wake, Mhe. Ridhiwani Kikwete mara baada ya kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi akisalimia Bunge wakati akitambulishwa Bungeni jijini Dodoma kabla ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Bajeti ya ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2024/25.


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akisalimia Bunge wakati akitambulishwa Bungeni jijini Dodoma kabla ya kuwasilishwa kwa Hotuba ya Bajeti ya ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2024/25.


Baadhi ya Watendaji na Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia Hotuba ya Bajeti ya ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.


Baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na taasisi zilizopo chini ya Ofisi hiyo wakifuatilia Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.


Mkurugenzi wa Idara ya Mipango, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Cosmas Ngangaji (Wakwanza kushoto) akifuatilia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Bungeni jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment