Monday, December 4, 2023

UZINDUZI WA RIPOTI YA AWALI YA KUTATHMINI KIPINDI CHA PILI CHA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI TANZANIA


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene akimkabidhi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais IKULU Bw. Mululi Mahendeka Ripoti ya Awali ya Kutathmini Kipindi cha Pili cha Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Tanzania baada ya uzinduzi wa ripoti hiyo katika ukumbi wa NBS Jijini Dodoma. 



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi akiteta jambo na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais IKULU Bw. Mululi Mahendeka kabla ya uzinduzi wa ripoti ya Awali ya Kutathmini Kipindi cha Pili cha Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Tanzania katika ukumbi wa NBS Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi akitoa neno la shukurani baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene kuzindua Ripoti ya Awali ya Kutathmini Kipindi cha Pili cha Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Tanzania katika ukumbi wa NBS Jijini Dodoma.




No comments:

Post a Comment