Tuesday, November 2, 2021

MHE. MCHENGERWA AELEZA MAFANIKIO YA SERIKALI KATIKA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA TANGU TAIFA LIPATE UHURU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dodoma leo kuhusu mafanikio ya Serikali katika Utumishi wa umma na utawala bora tangu taifa lipate uhuru ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


Baadhi ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma leo wakati akieleza mafanikio ya Serikali katika Utumishi wa umma na utawala bora tangu taifa lipate uhuru ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


Mwandishi wa Habari wa BBC, Bw. Abubakar Famau (mwenye kipaza sauti) akimuuliza swali Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Mchengerwa (hayupo pichani) wakati akieleza mafanikio ya Serikali katika Utumishi wa umma na utawala bora tangu taifa lipate uhuru ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa akitoa ufafanuzi wa masuala ya kiutumishi kwa waandishi wa Habari wakati wa mkutano wake uliofanyika  leo Jijini Dodoma kuelezea mafanikio ya Utumishi wa Umma tangu taifa lipate uhuru, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara.







 









1 comment:

  1. Samahani nauliza mweshimwa alijibu swali kuhusu watumishi waliofukuzwa kazi kama washakizi vigezo mpaka 2020 wanaweza kurudi kazini je utaratibu upoje mm ni mmoja wao

    ReplyDelete