Sunday, January 26, 2020

URASIMISHAJI ARDHI USHIRIKISHE HALMASHAURI, WIZARA YA ARDHI NA JAMII ILI KUEPUKA MIGOGORO


Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Christopher Ole Sendeka akimkaribisha Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) alipowasili ofisini kwake kabla ya kuanza ziara ya kikazi kukagua miradi ya MKURABITA. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Mhe. Ruth Msafiri.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akisalimiana  na baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Christopher Ole Sendeka.

Mnufaika wa MKURABITA, Bw. Heri Nahala akitoa ushuhuda wa namna alivyonufaika na MKURABITA wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri  Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) kutembelea utekelezaji wa miradi ya MKURABITA katika Halmashauri ya Wilaya ya Njombe .

No comments:

Post a Comment