Wednesday, January 8, 2020

MAAFISA TARAFA NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI VIKAO VYA KAMATI ZA KUDUMU NA BARAZA LA MADIWANI ILI KUSIMAMIA VYEMA SHUGHULI ZA MAENDELEO


Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba katika ziara yake ya kikazi, mkoani Singida.

Baadhi ya watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba wakimsikiliza Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) katika ziara yake ya kikazi mkoanI Singida. 
Afisa Mtendaji Kata ya Tulya, Bi. Mwajuma Rugambwa akiwasilisha malalamiko yake wakati wa kikao kazi kati ya Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) na watumishi  wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri mkoani Singida.

No comments:

Post a Comment