Saturday, September 1, 2018

WANASHERIA WALIO KATIKA UTUMISHI WA UMMA NCHINI WAASWA KUHAKIKISHA WANAANDAA MIKATABA YENYE MANUFAA KWA SERIKALI




Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome, akitoa neno la utangulizi na kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) kufunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria walio katika utumishi wa umma, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Wanasheria walio katika Utumishi wa Umma (hawapo pichani) wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria hao uliofanyika Chuo cha Mipango, jijini Dodoma.
Baadhi ya Wanasheria walio katika utumishi wa umma wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) (hayupo pichani) wakati akifunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria hao, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, akitoa neno la shukrani baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) kufunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria walio katika utumishi wa umma, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, akizungumza na Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Dorothy Mwaluko mara baada ya kufungwa kwa mkutano wa siku mbili wa Wanasheria walio katika utumishi wa umma, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akifafanua jambo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome mara baada ya kufunga mkutano wa siku mbili wa Wanasheria walio katika utumishi wa umma, uliofanyika katika Chuo cha Mipango jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment