Monday, September 10, 2018

SERIKALI YATOA VIBALI VYA KUAJIRI WATUMISHI WAPYA 15,000 KUZIBA PENGO LILILOACHWA NA WATUMISHI WALIOONDOLEWA KWA KUGHUSHI VYETI




Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akijibu swali Bungeni kuhusu kuziba nafasi wazi zilizoachwa na watumishi walioondolewa kazini kwa kosa la kughushi vyeti.

No comments:

Post a Comment