Monday, September 10, 2018

KATIBU MKUU-UTUMISHI AMWAGIZA MKUU WA CHUO CHA HOMBOLO KUWACHUKULIA HATUA ZA KINIDHAMU WATUMISHI WALIOSHIRIKI KULIPA MISHAHARA HEWA KWA ALIYEKUWA MTUMISHI WA CHUO HICHO



 Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akitoa maelekezo kwa Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dkt. Mpamila Madale alipofanya ziara ya kushtukiza katika chuo hicho jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Ibrahim Mahumi akitoa ufafanuzi kuhusu taratibu za kiutumishi kwa Mkuu wa Chuo na baadhi ya watumishi wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kikazi chuoni hapo.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akifuatilia maelezo ya Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dkt. Mpamila Madale alipofanya ziara ya kushtukiza katika chuo hicho jijini Dodoma.




No comments:

Post a Comment