Thursday, April 6, 2017

Baraza Maalum la Watumishi laendeshwa kwa Njia ya Video Kwa mara ya Kwanza Nchini

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (katikati) akifungua mkutano wa baraza maalumu la wafanyakazi wa Utumishi kwa njia ya mtandao kwa mara ya kwanza nchini Kulia kwake ni Kaimu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi 
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akifungua mkutano wa baraza maalumu la wafanyakazi wa Utumishi kwa njia ya mtandao kwa mara ya kwanza nchini.


Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (wa pili kutoka kulia) akifungua mkutano wa baraza maalumu la wafanyakazi wa Utumishi kwa njia ya mtandao kwa mara ya kwanza nchini.

Washiriki wa kikao maalum cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma kilichofanyika kwa njia ya mtandao ukumbi wa Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLA).
Washiriki wa kikao maalum cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma kilichofanyika kwa njia ya mtandao wakifuatilia kikao hicho kutoka Makao Makuu ya Nchi, Dodoma.


Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb)(kushoto) akifungua mkutano wa baraza maalumu la wafanyakazi wa Utumishi kwa njia ya mtandao kwa mara ya kwanza nchini. Kulia ni washiriki wa mkutano wakiwa Makao Makuu ya Nchi, Dodoma.

Kaimu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi(kushoto) akizungumza na watumishi baada ya ufunguzi wa mkutano wa baraza maalumu la wafanyakazi wa Utumishi kwa njia ya mtandao kwa mara ya kwanza nchini. Kulia ni washiriki wa mkutano wakiwa Makao Makuu ya Nchi, Dodoma.

Kaimu Mkurugenzi -Idara ya Mipango Utumishi Bw. Lumuli Mtaki akiwasilisha mada kwa njia ya mtandao kutoka Makao Makuu ,Dodoma.

No comments:

Post a Comment