Monday, July 18, 2016

MHE. KAIRUKI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA WABUNIFU NA WAADILIFU KATIKA UTENDAJI KAZI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo alipokuwa akiwasilisha taarifa ya Mkoa wa Pwani ofisini kwa Mkuu wa Mkoa huyo kabla ya kikao kazi na watumishi wa mkoa wa Pwani kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) akiongea na watumishi wa Mkoa wa Pwani (hawapo pichani) wakati wa kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. 

Baadhi ya Watumishi wa Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao wakati wa kikao kazi na watumishi hao kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani. 

Afisa Elimu Mkoa wa Pwani, Bw. Yusuph Kipengele akiwasilisha malalamiko yake kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) wakati wa kikao kazi na watumishi wa mkoa wa Pwani kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ACP. Ibrahim Mahumi akitoa ufafanuzi wa masuala ya kiutumishi yalioulizwa na watumishi wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na watumishi wa mkoa wa Pwani kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Pwani.

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Bwana Issa Ng’imba akitoa ufafanuzi wa masuala ya kiutumishi yalioulizwa na watumishi wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na watumishi wa mkoa wa Pwani kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Pwani.


Kaimu Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Bi. Christina Hape akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yalioulizwa na watumishi wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) na watumishi wa mkoa wa Pwani kilichofanyika tarehe 18/7/2016 katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Pwani. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, ACP. Ibrahim Mahumi na kushoto kwake ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Bwana Issa Ng’imba.


No comments:

Post a Comment