Tuesday, July 5, 2016

SERIKALI YAFANYA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WA WILAYA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiwatangaza Makatibu Tawala wa Wilaya wateule katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Rais - Utumishi. kushoto kwake ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Utumishi, Dkt. Laurean Ndumbaro. 

Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipokuwa akiwatangaza  Makatibu Tawala wa Wilaya wateule katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Rais - Utumishi 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Rais - Utumishi 

Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) alipokuwa akiwatangaza  Makatibu Tawala wa Wilaya wateule katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Rais - Utumishi 








No comments:

Post a Comment