Saturday, April 23, 2022

MHE. JENISTA AAHIDI KUHAKIKISHA USTAWI WA VIONGOZI WOTE WASTAAFU WA KITAIFA UNASIMAMIWA KIKAMILIFU

 

Rais wa Zanzibar, Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022, nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar, Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi kuzungumza katika sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022, nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akielezea majukumu ya ofisi yake katika kuwahudumia Viongozi Wakuu Wastaafu wa Kitaifa wakati wa sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022, nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam.

Rais wa Zanzibar, Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi akiwasili nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022.

Mama Maria Nyerere akizungumza jambo na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama, wakati wa sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022, nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na Naibu wake, Mhe. Deogratius Ndejembi wakiwasili nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama na Naibu wake, Mhe. Deogratius Ndejembi wakiangalia matukio katika picha ya Hayati Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake kwenye sherehe za kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zilizofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa kwenye misa ya kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022 katika kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mama Maria Nyerere na Mama Janeth Magufuli.


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akisikiliza shuhuda zilizokuwa zilitolewa na watu mbalimbali wakati wa misa ya kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022 katika kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mama Maria Nyerere na Mama Janeth Magufuli.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika picha ya pamoja na Mama Maria Nyerere, Mama Janeth Magufuli na jamaa wa familia ya Hayati Mwalimu Nyerere baada ya kumaliza misa ya kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika leo tarehe 23 Aprili, 2022 katika kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam. 






No comments:

Post a Comment