Wednesday, November 1, 2017

SERIKALI YADHAMIRIA KUKABILIANA NA TATIZO LA KUGHUSHI VYETI VYA ELIMU NA TAALUMA KWA WATUMISHI WA UMMA NCHINI




Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Jasson S. Rweikiza (Mb) akichangia hoja mara baada ya Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro kuwasilisha Taarifa ya uhakiki wa watumishi na vyeti vya kufaulu mtihani wa kidato cha nne, cha sita na ualimu kwenye Kamati hiyo.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akisikiliza hoja mbalimbali toka kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa, mara baada ya kuwasilisha Taarifa ya uhakiki wa watumishi na vyeti vya kufaulu mtihani wa kidato cha nne, cha sita na ualimu kwenye Kamati hiyo.

No comments:

Post a Comment