Saturday, November 11, 2017

WALIMU WA LESENI WALIOKIUKA MASHARTI YA MKATABA WA LESENI HAWATATAMBULIKA SERIKALINI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA UTUMISHI WA UMMA



Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (kulia) akibadilishana uzoefu wa masuala ya kiutumishi na Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Bw. Juma Homera (kushoto)  mara baada ya kuwasili wilayani Tunduru katika ziara yake ya kikazi ya kuhimiza uwajibikaji mkoani Ruvuma.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru katika ziara yake ya kikazi ya kuhimiza uwajibikaji mkoani Ruvuma.

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akifafanua suala la kiutumishi kwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Bw. Juma Homera wakati wa ziara yake ya kikazi ya kuhimiza uwajibikaji mkoani Ruvuma.

Baadhi ya watumishi wa Hamashauri ya Wilaya ya Tunduru wakisikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (hayupo pichani) wakati akifafanua masuala mbalimbali ya kiutumishi katika ziara yake ya kikazi ya kuhimiza uwajibikaji mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment