Wednesday, November 29, 2017

IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA YASHIRIKI KAMPENI KUELEKEA SIKU YA MAADILI NA HAKI ZA BINADAMU KITAIFA KWA KUPATIWA MAFUNZO YA MAADILI NA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

Kaimu Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Ukuzaji wa Maadili, Ofisi ya Rais - UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Leila Mavika (aliyesimama) akitoa mafunzo kuhusu maadili na mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi wa Ofisi ya Rais -Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Makao Makuu, ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Siku ya Maadili na Haki za Binadamu kitaifa tarehe 10 Disemba, 2017.

Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais -Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Makao wakisikiliza kwa makini mafunzo kuhusu maadili na mapambano dhidi ya rushwa yaliyotolewa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Ukuzaji wa Maadili, Ofisi ya Rais - UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Leila Mavika (hayupo pichani), ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Siku ya Maadili na Haki za Binadamu kitaifa tarehe 10 Disemba, 2017.

Mmoja wa watumishi wa Ofisi ya Rais -Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Makao akiuliza swali kuhusu maadili wakati wa kuhusu maadili na mapambano dhidi ya rushwa yaliyotolewa Kaimu Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Ukuzaji wa Maadili, Ofisi ya Rais - UTUMISHI na Utawala Bora, Bi. Leila Mavika (hayupo pichani), ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Siku ya Maadili na Haki za Binadamu kitaifa tarehe 10 Disemba, 2017.

No comments:

Post a Comment